Madrasatunnur
Educational Trust ni Taasisi ya Elimu ya mafunzo
ya Kiislam, Taasisi hii imefunguliwa kutokana na
kuonekana upo umuhimu wa kuwa nayo sisi watu wa
mwambao wa Africa Mashariki ambao tunaishi UK.
Taasisi ipo katika Mji wa Southall Kwenye ukumbi
wa Convent Way Community Hall ndani ya London
Borough of Hounslow, na imepata usajili. ...
Mwanaadamu yeyote, japo awe
haamini kuwa yupo Mwenyezi Mungu na ipo siku moja
viumbe wote tutakusanywa mbele yake, hawezi kuridhia
kuona mwanawe anapata malezi mabaya kitabia, kiafya
n.k. Kutoridhia pekee …