|
Assalamu Alaykum !
Kwa Niaba ya Madrasatunnur Napenda
kuchukua Nafasi hii kuwaalika,
kuwakumbusha na kuwaomba wale wote wenye
hamu na shauku ya kusoma Ahkam Quran ya
kuwa kila siku ya Jumamosi kuanzia saa
kumi na moja jioni patafanyika masomo
hayo hapo kwenye Ukumbi wa Madrasah.
Walimu :
Ustadh Nassor Rajab
Ustadh Abdulrahman Ahmed.
JAZAKALLAH |